NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

LEO TUKUTANE STAR TV HOJA JUU YA HOJA SAA TATU NA NUSU USIKU LEO



Ndugu mwanachama na kiongozi  mwenzangu ,kwa mara nyingine nimealikwa kukiwakilisha chama chetu katika kipindi cha agenda 2015 kinacho rushwa na kituo cha star tv saa tatu na nusu usiku wa leo. Mada kuu ni “je ni ipi faida au hasara ya mgombea kujulikana mapema kabla ya uchaguzi?”katika kipindi hiki ppia atakuwepo  muwakilishi kutoka chadema.Nawasihi wote mtakao kuwa na muda mkitazame kipindi  hiki,lakini nitashukuru kama nitapokea ushauri au hoja zitakazo nisaidia kuwa wakilisha vyema.Mbarikiwe sana.From comred KHERI.D. JAMES M/kiti (w)ilemela-mwanza,na mjumbe wa  mkutano mkuu wa ccm Taifa.

0 comments: