NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

TAFAKARI KAULI ZAKO,MATENDO,MWENENDO NA MAHUSIANO

Ndugu viongozi na wanachama wenzangu,katika mwenendo wetu wa maisha na siasa,kuna watu wanajiunga na chama chetu  kwa kauli zetu,matendo na mahusiano yetu,kama viongozi .Leo jitafakari ,je kauli zako ,matendo yako na mwenendo wako vinasaidia kuongeza wanachama au kupunguza wanachama?ukijua ukweli chukua hatua."wanamapinduzi mimi na wewe,kujisahihisha ndio msingi wa mapinduzi"from comred KHERI D JAMES M/kiti wa uvccm (w) ilemela mwanza,mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm Taifa.

0 comments: