NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

"KOMBE LA DUNIA HALIBEBWI NA MTU MWINGINE"

"Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za FIFA, raisi ndiye anaye paswa kulishika kombe la dunia. Mbali na raisi hakuna anaye weza kulishika hata makamu wa raisi haruhusiwi" raisi Kikwete ameyasema hayo leo jion ndani ya uwanja wa CCM KIRUMBA alivyo shiriki vilivyo katika swala hilo. Raisi kipenzi wa watanzania ameiasa TFF chini ya uongonzi mpya wa ndg. Jamari Malinzi kuwa wanapaswa kuimalisha vilabu vya mpira wa miguu nchini kwa kuwekeza kwa vijana wenye umri mdogo, yaani kuanzisha vyuo vya mpira(academies) na kukuza vipaji mashuleni ili kuimarisha michezo nchini.

0 comments: