NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

PENYE UKWELI LAZIMA HAKI ISIMAME. MUNGU AMESIMAMA PAMOJA NA ZITTO. WABAYA WAKE WABAKI MIDOMO WAZI.

Siku zote kila penye haki lazima ukweli usimame, hatakama utabatilisha vipi. Sisi hatuingilii mambo yenu ila tuna waonea huruma kwa jinsi mnavyo wayumbisha watanzania. Siku ya jana watanzania wote waliona jinsi Mungu alivyo mwema kwa  watu wake wema. Hii ni pale Mungu muweza wa yote alivyosimama upande wa Zitto Kabwe na kuwaacha watu wabaya wasio penda kuambiwa ukweli wakitoa macho huku wakitoa lawama zisizo na msingi. Kwa bahati mbaya watu wanasahau kuwa chama sio viongozi bali chama ni wanachama wanaotokana na kiongozi Fulani!


0 comments: