NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

MAELFU WAJITOKEZA KUMLAKI SHUJAA WAO ZITTO KABWE MKOANI KIGOMA. WAPIGA KULA WAKE WAMLAKI KWA MABANGO YA USHUJAA NA USEMA KWELI. CHADEMA WADUWAA!

Hivi ndivyo mapokizi ya  Zitto Zuberi Kabwe yalivyo fanyika mapema leo mkoani Kigoma. Mapokezi haya yanahashiria kuwa wapiga kula wa Zitto Kabwe hawapo pamoja na viongozi wa wa juu walioafikiana kumvua madaraka Naibu Katibu mkuu huyo wa wa zamani wa CHADEMA siku kadhaa zilizopita. Maelfu ya watu wakiwemo wafuasi wa CHADEMA na vyama vingine vya Siasa wamejitokeza kumlaki kwa nderemo na vifijo mbunge na shujaa wao huku wakiwa wamebeba mabango yalioandikwa maneno tofauti tofati huku wakiashiria kumpongeza na kumtia moyo kiongozi wao huyo. Kwa namna moja au nyigine wanakigoma hao na wafuasi wa Zitto Kabwe wanadhidi kuonyesha kuwa wapo pamoja nae ata kama atafukuzwa na chama chake na kujiunga na chama kingine.
 Wana siasa wengi wa Tanzania wanadhani watanzania bado niwajinga kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita na kumbe watanzania waliisha amka zamani na hawapo tayari kuburuzwa kama wajinga tena.
Kwa hili tunawapongeza sana wapiga kula wa Zitto Kabwe kwa ujasili na mshikamano mnao onyesha kwa kiongozi wenu mwadilifu na msema kweli na nyinyi ndio mliosababisha CHADEMA wakamtambua Zitto Kabwe kama ni miongoni mwa wabunge wake.
MUNGU AWATANGULIE WANA KIGOMA KWANI HUYO NDIO KIONGOZI  WENU MLIOMCHAGUA KWA KULA ZENU NA SIO KWA KULA ZA UKOO WA…………………………………



0 comments: