NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

HII NI MIONGONI MWA ZAWADI KUBWA KWA ILEMELA KUTOKA CCM (2010-2015). MAMBO MENGINE MENGI ZAIDI YANAFUATA.



Ujenzi wa soko kubwa la kimataifa linalojengwa katika eneo la Ghana katika wilaya ya Ilemela, upo katika sehemu za mwishomwisho kumalizika. Soko hilio amabalo linatalajiwa kuwa soko kubwa  kuliko yote hapa Afrika  ya Mashariki linajengwa na mainjinia kutoka nchi ya China na wapo katika atua ya mwisho kukamilisha na litazinduliwa rasmi miezi michache ajayo. Soko hilo la kimataifa litakalo ziunganisha nchi za Afrika mashariki na kati lipo katika barabara ya Makongoro inayoenda uwanja wa ndege na uwanja wa mpira wa CCM Kirumba. Hizi zote ni miongoni mwa juhudi mbalimbali zinazo fanywa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi katika kuhakikisha inaleta maendeleo kwa wanachi wake.
BILA YA CHAMA CHA MAPINDUZI NCHI YETU ITAYUMBA

0 comments: