NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

HII NDIO HURUMA YA RAISI WETU KIKWETE KWA WATANZANIA WA HALI YA CHINI.


Katika jitihada ya kumpunguzia mzigo wa kodi mwananchi wa Tanzania, Mh. Raisi wa Jamuhuri ya Tanzania Ndg. Jakaya Mrisho Kikwete amesaini hati ya dharura kuliandikia Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuzuia tozo ya laini ya simu ilio kuwa imepitishwa na Bunge hilo. Kwa maamuzi hayo ya Raisi wetu mpendwa, hakuna mwananchi atakae tozwa kodi/tozo kwa laini yeyote ya simu. Niwajibu wetu kumpongeza Raisi wetu kwa maamuzi haya yamsingi kwa ajiri ya kumsadia mwananchi wa hali ya nchini.
        THANK YOU PRESDENT KIKWETE!


0 comments: