NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

HIVI NDIVYO WALIVYOKUA WAKIPANGA MAMBO YAO BILA KUVUNJA AMANI


Hebu leo tukumbuke tulipotoka ata tunapo kwenda. Hawa ni miongoni mwa wazee wetu walio tutangulia wakikusanyana kwa pamoja kujadili mstakabadhi mzima wan chi yetu Tanzania. Kwa upendo na umoja walishirikiana na kukubaliana bila kuzingatia anaye ongea anatoka dini gani au kabila gani. Kwakuzingatia hayo nchi yetu ilitawalika kwa amani na upendo bila vita wala maandamano. Hawa wote walijua thamani ya utu wao na utaifa wao. Kila mmoja alikubali kukoselewa alipo kosea na kuatayari kujirekebisha. Kwa hakika amani ilikuepo ya kutosha na taifa lilitawalika kwa amani safi. Ilipendeza sana jinsi watanzania wazamani au wazee wetu walivyo ishi na kuheshimu serikali yao.
Leo watanzania wengi wasio jua utaifa wao wala umuhim wao katika mstakabadhi mzima wataifa lao ndio wamekua wakitumiwa kama vyambo katika  kuanzisha vurugu na uvunjifu wa amani katika taifa letu. Nivikundi vya watu furani vinavyo ongozwa na watu furani hivi ndivyo vinavyo taka kuvuruga amani tulio nayo kwa ajiri ya kutaka kushika nchi. Je kama hawa wazee wetu wote wangetaka kushika dora kwa njia wanayo taka kutumia baadhi ya watu yani Udini na Ukabila Tanzania yetu ingekua hivi ilivyo leoo?
Hatuwezi kusema tunamuenzi Mwalim Nyerere wakati amani yetu tulioitunza kwa muda mrefu ipo hatarini kutoweka. Nilazima tujifunze sisi wenyewe na kuvifundisha vizazi vyetu mambo yote mema na matamu ya nchi yetu tulio rithi kutoka kwa wazee wetu. Kama wao waliweza kwa nini sisi tushindwe?  
Ni chama kimoja tu kisichokua na ukabila wala udini hapa Tanzania, ambacho kimeitunza na kuilinda amani ya Tanzania, nacho ni Chama Cha Mapinduzi. Vyama vyote vinaongea na kushawishi watu wote wengi kujiunga kwao lakini havina mpango wa kulinda na kuitunza amani ya nchi yetu kwani wapo tayari kuona mtu anakufa au damu ya watanzania wanyoge ikimwagika ila tu wao washike dora. Lakini CCM ndio chama kincho linda uhai wa watanzania wote maskini kwa matajiri. Tukipede chama chetu cha CCM, tukiamini napia tukilinde ili kizidi kutawala na kulinda amani tulionayo.  

0 comments: