NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

KAMA CHADEMA ILIVYOANZA NDIVYO ITAKAVYO ISHA. WAJANJA WASHTUKIA. WAANZA KURUDI NYUMBANI (CCM)


Hili nafikiri ni jambo la  ajabu sana na ni uzuni mkubwa kwa watu wa chadema. Mkutano mkubwa wa katibu mkuu wa chadema wazidi kutoa picha ya nini kinaendelea ndani ya chama hicho! Kama kiongozi mkubwa kama huyu ambaye aliisha zoea kupata watu zaidi ya maelfu leo hii anapata watu wakuhesabu kama picha inavyo onyesha pia hii inatokana na jinsi watu wanavyo zidi kujua ukweli wa mambo ambayo yalikuwa yamefichwa. Kweli hali ya washindani wetu sio nzuri!
TUNAWASHUKURU SANA NDUGU WANA NCHI KWA KUZIDI KUJUA UKWELI WA MAMBO. SISI           HATUNA UKABILA WALA UDINI

0 comments: