NEWZZZZ...........

THE VOICE OF UVCCM ILEMELA MWANZA
MWENYEKITI WA UVCCM ILEMELA COMRED KHERI .D. JAMES

KWAPAMOJA TUNAWEZA KUFANYA MAMBO YETU. MIAKA 52 YA UHURU MAFANIKIO NA MAENDELEO TUNAYAONA


Tunamshukuru Mungu wetu kwa  alivyo tuunganisha kwa pamoja kusherekea miaka yetu 52 ya uhuru wa taifa letu Tanzania pamoja na watanzania mlivyo jitoa nakujitokeza kwa wingi. Hii inaonyesha jinsi gani watanzania bado mnaimani kubwa na serikali yetu. Nijambo zuri kushirikiana kwa pamoja na kuweka tofauti zetu mbali ili kufanya mabo yetu ya msingi kama hili la kusherekea miaka 52 ya uhuru wetu. Hakika haya yote yanatokea na kufanyika ni kwasababu ya serikali nzuri iliyopo madarakani inayo ongozwa naz Chama Cha Mapinduzi, inayotuunganisha pamoja bila kubaguana kwa dini na kabila zetu. Wapo wenzetu wengi wanao tamani kuhishi kama sisi watanzania tunavyoishi lakini wameshindwa kwa vile tu hawaishi kwa amani kama tulionayo sisi. Tuilinde na kuitunza amani yetu.

0 comments: