WANANCHI WAICHARUKIA CHADEMA!! WAWAFICHUA MAFISADI CHADEMA!!
SISI TUMETAFSIRI TU YALIYO ANDIKWA HAPO JUU!!
MTEI: Huyu ndiye mzee mwenye chama aliye toka ccm miaka mingi iliyopita kwa
sababu ya kujishtukia.
MBOWE: Huyu ni mototo
wa ubatizo wa mzee Mtei ndio maana anaona chama ni cha baba yake.
SLAA: Huyu yeye ni mgeni katika chama kwahiyo mda wowote anaweza kufukuzwa akarudi
kwao.
LISU: Huyu
yupo kimaslai ndani ya nyumba. Anacho kifanya yeye ni kufuata upepo na hana
maamuzi.
LEMA: Huyu
haaaa!! haaaa!! hatuna la kusema. Kweli huyu ni Mini Kabang. Si mnajua maana yake?
SISI
HATUNA LA KUSEMA HAPO. CCM OYEEEEEEEEEEEE!!!!
0 comments:
Post a Comment